SHERIA KONGWE ZA HABARI ZISIENDELEE KUTUMIKA ZANZIBAR ZINAMINYA UHURU WA HABARI.NA , AMINA AHMED MOH’D –PEMBA


     KILA  ifikapo  may 3 Dunia huadhimisha siku ya uhuru wa habari  ambapo lengo ni kukuza uelewa  wa uhuru wa habari na kuikumbusha serikali  pamoja na jamii  umuhimu wa kuheshimu na kulinda haki ya uhuru wa habari kwa muhimili huu namba 4 duniani kama  inavyolindwa katika ibara ya 19 tamko la ulimwengu  kwa haki za binaadamu.

Itakumbukwa kuwa mnamo mwaka 1993 Baraza kuu la umoja wa mataifa liliitangaza siku ya  may 3 kuwa  ni siku ya uhuru wa habari, huku azimio la kimataifa juu ya haki za binaadamu ni lile tamko la mkutano mkuu wa umoja wa mataifa lililotolewa tarehe 10 / 12 mwaka  1948 imeridhia uwepo  wa uhuru wa kutoa maoni na kueleza  kuwa kila kitu kilichopo ulimwenguni  ni haki ya binaadamu , lakini pia  katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu cha 18 kimeeleza kuwa ‘’ Bila kuathiri sheria za nchi kila mmoja yupo huru kutoa maoni na kupata taarifa  iwe za ndani au  za nje ya nchi’’.

Licha ya kutambulika siku hiyo ulimwenguni  lakini bado kwa upande wa Zanzibar baadhi ya vifungu vya   sharia  vimekuwa sio rafiki katika kutoa uhuru wa habari na wanahabari jambo ambalo limekuwa likirudisha nyuma ufanisi katika kazi hizo huku wadau wahabari kutoka taasisi mbali mbali ikiwemo  chama cha waandishi wa habari wanawake Zanzibar  Tamwa  wakiendelea kulipazia sauti suala hili ili kuona  serikali hailifumbii macho na kuchukua hatua ikiwemokufanyiwa marekebisho au kubadilishwa kabisa kwa sharia  hizo.

Miongoni mwa sheria hiyo ambayo ndani yake kuna vifungu vingi vinavyominya uhuru wa habari  ni Sheria ya  Usajili wa Wakala wa Habari na Vitabu namba tano ya mwaka 1988 pamoja na marekebisho yake namba nane ya mwaka 1997  pamoja na Sheria ya Tume ya Utangazaji Zanzibar  namba saba 1997 na marekebisho yake namba moja ya mwaka 2010.

Licha ya sheria hiyo kuwa na muda mrefu katika matumizi yake muda usiopungua miaka 20 lakini pia imekuwa kikwazo kwa baadhi ya vifungu vya sheria  vilivyomo ndani yake ambavyo vinatia hofu katika kuufikia uhuru wa habari.

 

Makala hii leo inaangalia kifungu ndani ya sheria hiyo ambayo  ni miongoni mwa vifungu vibaya kabisa kwa kufikia uhuru wa SHERIA KONGWE  ZA HABARI ZISIENDELEE KUTUMIKA ZANZIBAR ZINAMINYA UHURU WA HABARI.

NA , AMINA AHMED MOH’D –PEMBA

     KILA  ifikapo  may 3 Dunia huadhimisha siku ya uhuru wa habari  ambapo lengo ni kukuza uelewa  wa uhuru wa habari na kuikumbusha serikali  pamoja na jamii  umuhimu wa kuheshimu na kulinda haki ya uhuru wa habari kwa muhimili huu namba 4 duniani kama  inavyolindwa katika ibara ya 19 tamko la ulimwengu  kwa haki za binaadamu.

Itakumbukwa kuwa mnamo mwaka 1993 Baraza kuu la umoja wa mataifa liliitangaza siku ya  may 3 kuwa  ni siku ya uhuru wa habari, huku azimio la kimataifa juu ya haki za binaadamu ni lile tamko la mkutano mkuu wa umoja wa mataifa lililotolewa tarehe 10 / 12 mwaka  1948 imeridhia uwepo  wa uhuru wa kutoa maoni na kueleza  kuwa kila kitu kilichopo ulimwenguni  ni haki ya binaadamu , lakini pia  katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu cha 18 kimeeleza kuwa ‘’ Bila kuathiri sheria za nchi kila mmoja yupo huru kutoa maoni na kupata taarifa  iwe za ndani au  za nje ya nchi’’.

Licha ya kutambulika siku hiyo ulimwenguni  lakini bado kwa upande wa Zanzibar baadhi ya vifungu vya   sharia  vimekuwa sio rafiki katika kutoa uhuru wa habari na wanahabari jambo ambalo limekuwa likirudisha nyuma ufanisi katika kazi hizo huku wadau wahabari kutoka taasisi mbali mbali ikiwemo  chama cha waandishi wa habari wanawake Zanzibar  Tamwa  wakiendelea kulipazia sauti suala hili ili kuona  serikali hailifumbii macho na kuchukua hatua ikiwemokufanyiwa marekebisho au kubadilishwa kabisa kwa sharia  hizo.

Miongoni mwa sheria hiyo ambayo ndani yake kuna vifungu vingi vinavyominya uhuru wa habari  ni Sheria ya  Usajili wa Wakala wa Habari na Vitabu namba tano ya mwaka 1988 pamoja na marekebisho yake namba nane ya mwaka 1997  pamoja na Sheria ya Tume ya Utangazaji Zanzibar  namba saba 1997 na marekebisho yake namba moja ya mwaka 2010.

Licha ya sheria hiyo kuwa na muda mrefu katika matumizi yake muda usiopungua miaka 20 lakini pia imekuwa kikwazo kwa baadhi ya vifungu vya sheria  vilivyomo ndani yake ambavyo vinatia hofu katika kuufikia uhuru wa habari.

 

Makala hii leo inaangalia kifungu ndani ya sheria hiyo ambayo  ni miongoni mwa vifungu vibaya kabisa kwa kufikia uhuru wa habari huku waathirika wakubwa wakiwa ni waandishi wa habari ambao wanaaminika kwa baadhi ya vifungu vya sharia hizo ni wahalifu na wachochezi katika taifa .

Vifungu hivyo ni kifungu namba 27 (1)  pamoja na kifungu cha 34 (4) ambacho kimempa mamlaka afisa yeyote wa jeshi la polisi pamoja na waziri mamlaka ya mwisho  na sio mahkama ambayo ndio mtoaji maamuzi ya mwisho,maneno makali kama vile kudhibitiwa,na uchochezi   nilizungumza na baadhi ya wanasheria akiwemo Safia Swaleh Sultan  anasema kuwa  ilitakiwa kifungu hicho  cha sheria kiwekwe  mashauriano ya pamoja kati ya bodi ya ushauri na itakapojiridhisha itoe maamuzi ya pamoja katika kulifungia  gazeti  au chombo ambacho watahisi limeenda kinyume.

“Sheria iendane na katiba  isiwe katiba inaelekeza hivi  sheria ifanye vyengine  utawala wa sheria iendane na zifuate katiba  alisema Siti Habib Muhammed  mwanasheria  kutoka shirika la msaada wakisheria  Zanzibar .

Faraji Shomari   mwanasheria kutoka  ofisi ya mkurugenzi wa  mashtaka anasema kuwa hakuna haki kufuatioa kifungu hichi cha sharia ambacho  waziri anakuwa na muamuzi wa mwisho   na hayatatolewa maamuzi na mahkama yeyote   wala mabadiliko yeyote yale ikiwemo maamuzi ya rufaa.

‘’ikiwa mamuzi yatashindikana kutoka kwa waongozaji na yakaletwa kwa mahkama kuna uwezo wa kukatiwa rufaa  mahakamani au mahkama kuu  uwezo wa kupima haki juu ya kilichoamuliwa na waziri  ni sahihi au sio sahihi na hiyo ndio haki na uhuru uhuru sio kumpa mtu mmoja mamlaka na mwengine kukosa  hata kujieleza au kusikilizwa.

Waziri kuwa mtu wa mwisho katika kutoa maamuzi ya habari vyombo vya habari vimefinywa uhuru wake natamani sharia hizi ziangaliwe upya ziendane na mabadiliko ya teknlogia ya habari alisema Halfan Amour Muhamed mwanasheria wakujitegemea Pemba.

 

WANAHABARI.

 Is -haka Muhammed Rubea  kutoka Zenj fm radio yeye anasema kuwa vifungu hivyo ambavyo ni  kikwazo kwa uhuru wa habari vinaulazima wa kurekebishwa  kutokana na kukwaza kwake katika kujieleza  na kupata taarifa.

‘’ Mwaka 2009 kulikuwa na gazeti moja  ambalo lilimilikia na Zanzibar media cooperation ambayo ndio hii inayomiliki zenj fm ninayofanyia kazi mimi  licha ya kuwa halikuwahi kusambazwa lilikuwa linaitwa taifa huru  lilitakiwa lisambazwe siku ya tarehe 12  lakini waziri mwaka huo tarehe 11 usiku akazuia kwamba hili  gazeti lisisambazwe licha ya kuwa tayari lilishachapishwa  na fedha kutumika nyingi’’.

Halikuweza kusikika tena na wala shirika halikuweza kupata nguvu kwa sababu ya mamlaka aliyopewa waziri ndani ya sharia hiyo ulioitaja  tunatamani iondolewe hata leo ili tuwe huru katika kazi zetu na vyombo vyetu vya habari.

‘’Wananchi wanahitaji kulishwa habari kutoka kwetu sisi waandishi wa habari  au vyombo vya habari  ikitokea hapati au anapata isiyoshiba kutokanana hofu  ni athari  kubwa na ni dhahiri hakuna uo uhuru ‘’ alisema mwandishi kutoka radio jamii mkoani Time Khamis Mwinyi .

Bakari Mussa Juma mwandishi kutoka Zanzibar leo Pemba kwa upande wake anasema kuwa athari zinaweza kutokea kutokana na kupungua kwa viwango katika habari  mara kwa mara  na kuwakosesha watu haki yao  katika kupata taarifa.

WADAU WA HABARI WASEMAJE

Hafidh Abdi Said kutoka  KUKHAWA    anasema kuwa sharia za habari Zanzibar zinabana sana kiasi ambacho hata muandishi wa habari anapotaka kuzungumza anahofia kumkwaza  kiongozi fulani  hata kama habari hiyo ni kwa maslahi ya wananchi jambo ambalo ni ngumu kwa muandishi kuwa huru kufanya kazi zao ipasavyo.

‘’ Sheria zinazogusa  mambo ya habari zinahitaji kuangaliwa  ili kuona zinakwenda na wakati uliopo sasa na kuwaweka salama wanahabari  kama wadau tunbaliona hilo na tunajitahidi kulipazia sauti tunaamini serikali yetu ni sikivu na  italiona hilo kwa uhuru mpana wa habari

‘’Sheria  hizi zinalalamikiwa sana zina mapungufufu mengi  zina changamoto nyingi zinazokwaza na jambo linapolalamikiwa sana na wengi ni dhahiri kuwa linakwaza tunaiomba serikali kupitia taasisi husika ya tume ya marekebisho ya sharia kuzifanyia kazi ili waandishi wapate uhuru wa kufanya kazi zao kwa uweledi’’ alisema Mgeni Kombo Khamis  kutoka PPC.

 ‘’Tunapata atahari kubwa wanajamii tunaathirika hatupati habari  ipasavyo vinaponyimwa uhuru au kufungiwa au waandishi kuogopa kuandika ukweli kwa kumuhofia mtu  tutakuwa hatujui kinachoendelea ndio yale yale tutaishia kusema tunachoamini sisi tunaiomba serikali iziangalie upya kama zinakazwa ziondolewe  ili uhuru upatikane  ‘’ alisema asya massoud mwananchi .

 

Siku hii ya habari duniani ikawe chachu  ya kuleta mabadiliko katika sharia hizi na vifungu vyake  kwa upande wa Zanzibar ili kupatikane mageuzi katika tasnia ya  habari kwa viongozi kulipa kipaumbele suala hili la kufanyiwa marekebisho sharia kandamizi zinazonyima uhuru wa habari

MW huku waathirika wakubwa wakiwa ni waandishi wa habari ambao wanaaminika kwa baadhi ya vifungu vya sharia hizo ni wahalifu na wachochezi katika taifa .

Vifungu hivyo ni kifungu namba 27 (1)  pamoja na kifungu cha 34 (4) ambacho kimempa mamlaka afisa yeyote wa jeshi la polisi pamoja na waziri mamlaka ya mwisho  na sio mahkama ambayo ndio mtoaji maamuzi ya mwisho,maneno makali kama vile kudhibitiwa,na uchochezi   nilizungumza na baadhi ya wanasheria akiwemo Safia Swaleh Sultan  anasema kuwa  ilitakiwa kifungu hicho  cha sheria kiwekwe  mashauriano ya pamoja kati ya bodi ya ushauri na itakapojiridhisha itoe maamuzi ya pamoja katika kulifungia  gazeti  au chombo ambacho watahisi limeenda kinyume.

“Sheria iendane na katiba  isiwe katiba inaelekeza hivi  sheria ifanye vyengine  utawala wa sheria iendane na zifuate katiba  alisema Siti Habib Muhammed  mwanasheria  kutoka shirika la msaada wakisheria  Zanzibar .

Faraji Shomari   mwanasheria kutoka  ofisi ya mkurugenzi wa  mashtaka anasema kuwa hakuna haki kufuatioa kifungu hichi cha sharia ambacho  waziri anakuwa na muamuzi wa mwisho   na hayatatolewa maamuzi na mahkama yeyote   wala mabadiliko yeyote yale ikiwemo maamuzi ya rufaa.

‘’ikiwa mamuzi yatashindikana kutoka kwa waongozaji na yakaletwa kwa mahkama kuna uwezo wa kukatiwa rufaa  mahakamani au mahkama kuu  uwezo wa kupima haki juu ya kilichoamuliwa na waziri  ni sahihi au sio sahihi na hiyo ndio haki na uhuru uhuru sio kumpa mtu mmoja mamlaka na mwengine kukosa  hata kujieleza au kusikilizwa.

Waziri kuwa mtu wa mwisho katika kutoa maamuzi ya habari vyombo vya habari vimefinywa uhuru wake natamani sharia hizi ziangaliwe upya ziendane na mabadiliko ya teknlogia ya habari alisema Halfan Amour Muhamed mwanasheria wakujitegemea Pemba.

 

WANAHABARI.

 Is -haka Muhammed Rubea  kutoka Zenj fm radio yeye anasema kuwa vifungu hivyo ambavyo ni  kikwazo kwa uhuru wa habari vinaulazima wa kurekebishwa  kutokana na kukwaza kwake katika kujieleza  na kupata taarifa.

‘’ Mwaka 2009 kulikuwa na gazeti moja  ambalo lilimilikia na Zanzibar media cooperation ambayo ndio hii inayomiliki zenj fm ninayofanyia kazi mimi  licha ya kuwa halikuwahi kusambazwa lilikuwa linaitwa taifa huru  lilitakiwa lisambazwe siku ya tarehe 12  lakini waziri mwaka huo tarehe 11 usiku akazuia kwamba hili  gazeti lisisambazwe licha ya kuwa tayari lilishachapishwa  na fedha kutumika nyingi’’.

Halikuweza kusikika tena na wala shirika halikuweza kupata nguvu kwa sababu ya mamlaka aliyopewa waziri ndani ya sharia hiyo ulioitaja  tunatamani iondolewe hata SHERIA KONGWE  ZA HABARI ZISIENDELEE KUTUMIKA ZANZIBAR ZINAMINYA UHURU WA HABARI.

NA , AMINA AHMED MOH’D –PEMBA

     KILA  ifikapo  may 3 Dunia huadhimisha siku ya uhuru wa habari  ambapo lengo ni kukuza uelewa  wa uhuru wa habari na kuikumbusha serikali  pamoja na jamii  umuhimu wa kuheshimu na kulinda haki ya uhuru wa habari kwa muhimili huu namba 4 duniani kama  inavyolindwa katika ibara ya 19 tamko la ulimwengu  kwa haki za binaadamu.

Itakumbukwa kuwa mnamo mwaka 1993 Baraza kuu la umoja wa mataifa liliitangaza siku ya  may 3 kuwa  ni siku ya uhuru wa habari, huku azimio la kimataifa juu ya haki za binaadamu ni lile tamko la mkutano mkuu wa umoja wa mataifa lililotolewa tarehe 10 / 12 mwaka  1948 imeridhia uwepo  wa uhuru wa kutoa maoni na kueleza  kuwa kila kitu kilichopo ulimwenguni  ni haki ya binaadamu , lakini pia  katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu cha 18 kimeeleza kuwa ‘’ Bila kuathiri sheria za nchi kila mmoja yupo huru kutoa maoni na kupata taarifa  iwe za ndani au  za nje ya nchi’’.

Licha ya kutambulika siku hiyo ulimwenguni  lakini bado kwa upande wa Zanzibar baadhi ya vifungu vya   sharia  vimekuwa sio rafiki katika kutoa uhuru wa habari na wanahabari jambo ambalo limekuwa likirudisha nyuma ufanisi katika kazi hizo huku wadau wahabari kutoka taasisi mbali mbali ikiwemo  chama cha waandishi wa habari wanawake Zanzibar  Tamwa  wakiendelea kulipazia sauti suala hili ili kuona  serikali hailifumbii macho na kuchukua hatua ikiwemokufanyiwa marekebisho au kubadilishwa kabisa kwa sharia  hizo.

Miongoni mwa sheria hiyo ambayo ndani yake kuna vifungu vingi vinavyominya uhuru wa habari  ni Sheria ya  Usajili wa Wakala wa Habari na Vitabu namba tano ya mwaka 1988 pamoja na marekebisho yake namba nane ya mwaka 1997  pamoja na Sheria ya Tume ya Utangazaji Zanzibar  namba saba 1997 na marekebisho yake namba moja ya mwaka 2010.

Licha ya sheria hiyo kuwa na muda mrefu katika matumizi yake muda usiopungua miaka 20 lakini pia imekuwa kikwazo kwa baadhi ya vifungu vya sheria  vilivyomo ndani yake ambavyo vinatia hofu katika kuufikia uhuru wa habari.

 

Makala hii leo inaangalia kifungu ndani ya sheria hiyo ambayo  ni miongoni mwa vifungu vibaya kabisa kwa kufikia uhuru wa habari huku waathirika wakubwa wakiwa ni waandishi wa habari ambao wanaaminika kwa baadhi ya vifungu vya sharia hizo ni wahalifu na wachochezi katika taifa .

Vifungu hivyo ni kifungu namba 27 (1)  pamoja na kifungu cha 34 (4) ambacho kimempa mamlaka afisa yeyote wa jeshi la polisi pamoja na waziri mamlaka ya mwisho  na sio mahkama ambayo ndio mtoaji maamuzi ya mwisho,maneno makali kama vile kudhibitiwa,na uchochezi   nilizungumza na baadhi ya wanasheria akiwemo Safia Swaleh Sultan  anasema kuwa  ilitakiwa kifungu hicho  cha sheria kiwekwe  mashauriano ya pamoja kati ya bodi ya ushauri na itakapojiridhisha itoe maamuzi ya pamoja katika kulifungia  gazeti  au chombo ambacho watahisi limeenda kinyume.

“Sheria iendane na katiba  isiwe katiba inaelekeza hivi  sheria ifanye vyengine  utawala wa sheria iendane na zifuate katiba  alisema Siti Habib Muhammed  mwanasheria  kutoka shirika la msaada wakisheria  Zanzibar .

Faraji Shomari   mwanasheria kutoka  ofisi ya mkurugenzi wa  mashtaka anasema kuwa hakuna haki kufuatioa kifungu hichi cha sharia ambacho  waziri anakuwa na muamuzi wa mwisho   na hayatatolewa maamuzi na mahkama yeyote   wala mabadiliko yeyote yale ikiwemo maamuzi ya rufaa.

‘’ikiwa mamuzi yatashindikana kutoka kwa waongozaji na yakaletwa kwa mahkama kuna uwezo wa kukatiwa rufaa  mahakamani au mahkama kuu  uwezo wa kupima haki juu ya kilichoamuliwa na waziri  ni sahihi au sio sahihi na hiyo ndio haki na uhuru uhuru sio kumpa mtu mmoja mamlaka na mwengine kukosa  hata kujieleza au kusikilizwa.

Waziri kuwa mtu wa mwisho katika kutoa maamuzi ya habari vyombo vya habari vimefinywa uhuru wake natamani sharia hizi ziangaliwe upya ziendane na mabadiliko ya teknlogia ya habari alisema Halfan Amour Muhamed mwanasheria wakujitegemea Pemba.

 

WANAHABARI.

 Is -haka Muhammed Rubea  kutoka Zenj fm radio yeye anasema kuwa vifungu hivyo ambavyo ni  kikwazo kwa uhuru wa habari vinaulazima wa kurekebishwa  kutokana na kukwaza kwake katika kujieleza  na kupata taarifa.

‘’ Mwaka 2009 kulikuwa na gazeti moja  ambalo lilimilikia na Zanzibar media cooperation ambayo ndio hii inayomiliki zenj fm ninayofanyia kazi mimi  licha ya kuwa halikuwahi kusambazwa lilikuwa linaitwa taifa huru  lilitakiwa lisambazwe siku ya tarehe 12  lakini waziri mwaka huo tarehe 11 usiku akazuia kwamba hili  gazeti lisisambazwe licha ya kuwa tayari lilishachapishwa  na fedha kutumika nyingi’’.

Halikuweza kusikika tena na wala shirika halikuweza kupata nguvu kwa sababu ya mamlaka aliyopewa waziri ndani ya sharia hiyo ulioitaja  tunatamani iondolewe hata leo ili tuwe huru katika kazi zetu na vyombo vyetu vya habari.

‘’Wananchi wanahitaji kulishwa habari kutoka kwetu sisi waandishi wa habari  au vyombo vya habari  ikitokea hapati au anapata isiyoshiba kutokanana hofu  ni athari  kubwa na ni dhahiri hakuna uo uhuru ‘’ alisema mwandishi kutoka radio jamii mkoani Time Khamis Mwinyi .

Bakari Mussa Juma mwandishi kutoka Zanzibar leo Pemba kwa upande wake anasema kuwa athari zinaweza kutokea kutokana na kupungua kwa viwango katika habari  mara kwa mara  na kuwakosesha watu haki yao  katika kupata taarifa.

WADAU WA HABARI WASEMAJE

Hafidh Abdi Said kutoka  KUKHAWA    anasema kuwa sharia za habari Zanzibar zinabana sana kiasi ambacho hata muandishi wa habari anapotaka kuzungumza anahofia kumkwaza  kiongozi fulani  hata kama habari hiyo ni kwa maslahi ya wananchi jambo ambalo ni ngumu kwa muandishi kuwa huru kufanya kazi zao ipasavyo.

‘’ Sheria zinazogusa  mambo ya habari zinahitaji kuangaliwa  ili kuona zinakwenda na wakati uliopo sasa na kuwaweka salama wanahabari  kama wadau tunbaliona hilo na tunajitahidi kulipazia sauti tunaamini serikali yetu ni sikivu na  italiona hilo kwa uhuru mpana wa habari

‘’Sheria  hizi zinalalamikiwa sana zina mapungufufu mengi  zina changamoto nyingi zinazokwaza na jambo linapolalamikiwa sana na wengi ni dhahiri kuwa linakwaza tunaiomba serikali kupitia taasisi husika ya tume ya marekebisho ya sharia kuzifanyia kazi ili waandishi wapate uhuru wa kufanya kazi zao kwa uweledi’’ alisema Mgeni Kombo Khamis  kutoka PPC.

 ‘’Tunapata atahari kubwa wanajamii tunaathirika hatupati habari  ipasavyo vinaponyimwa uhuru au kufungiwa au waandishi kuogopa kuandika ukweli kwa kumuhofia mtu  tutakuwa hatujui kinachoendelea ndio yale yale tutaishia kusema tunachoamini sisi tunaiomba serikali iziangalie upya kama zinakazwa ziondolewe  ili uhuru upatikane  ‘’ alisema asya massoud mwananchi .

 

Siku hii ya habari duniani ikawe chachu  ya kuleta mabadiliko katika sharia hizi na vifungu vyake  kwa upande wa Zanzibar ili kupatikane mageuzi katika tasnia ya  habari kwa viongozi kulipa kipaumbele suala hili la kufanyiwa marekebisho sharia kandamizi zinazonyima uhuru wa habari

MW ili tuwe huru katika kazi zetu na vyombo vyetu vya habari.

‘’Wananchi wanahitaji kulishwa habari kutoka kwetu sisi waandishi wa habari  au vyombo vya habari  ikitokea hapati au anapata isiyoshiba kutokanana hofu  ni athari  kubwa na ni dhahiri hakuna uo uhuru ‘’ alisema mwandishi kutoka radio jamii mkoani Time Khamis Mwinyi .

Bakari Mussa Juma mwandishi kutoka Zanzibar leo Pemba kwa upande wake anasema kuwa athari zinaweza kutokea kutokana na kupungua kwa viwango katika habari  mara kwa mara  na kuwakosesha watu haki yao  katika kupata taarifa.

WADAU WA HABARI WASEMAJE

Hafidh Abdi Said kutoka  KUKHAWA    anasema kuwa sharia za habari Zanzibar zinabana sana kiasi ambacho hata muandishi wa habari anapotaka kuzungumza anahofia kumkwaza  kiongozi fulani  hata kama habari hiyo ni kwa maslahi ya wananchi jambo ambalo ni ngumu kwa muandishi kuwa huru kufanya kazi zao ipasavyo.

‘’ Sheria zinazogusa  mambo ya habari zinahitaji kuangaliwa  ili kuona zinakwenda na wakati uliopo sasa na kuwaweka salama wanahabari  kama wadau tunbaliona hilo na tunajitahidi kulipazia sauti tunaamini serikali yetu ni sikivu na  italiona hilo kwa uhuru mpana wa habari

‘’Sheria  hizi zinalalamikiwa sana zina mapungufufu mengi  zina changamoto nyingi zinazokwaza na jambo linapolalamikiwa sana na wengi ni dhahiri kuwa linakwaza tunaiomba serikali kupitia taasisi husika ya tume ya marekebisho ya sharia kuzifanyia kazi ili waandishi wapate uhuru wa kufanya kazi zao kwa uweledi’’ alisema Mgeni Kombo Khamis  kutoka PPC.

 ‘’Tunapata atahari kubwa wanajamii tunaathirika hatupati habari  ipasavyo vinaponyimwa uhuru au kufungiwa au waandishi kuogopa kuandika ukweli kwa kumuhofia mtu  tutakuwa hatujui kinachoendelea ndio yale yale tutaishia kusema tunachoamini sisi tunaiomba serikali iziangalie upya kama zinakazwa ziondolewe  ili uhuru upatikane  ‘’ alisema asya massoud mwananchi .

 

Siku hii ya habari duniani ikawe chachu  ya kuleta mabadiliko katika sharia hizi na vifungu vyake  kwa upande wa Zanzibar ili kupatikane mageuzi katika tasnia ya  habari kwa viongozi kulipa kipaumbele suala hili la kufanyiwa marekebisho sharia kandamizi zinazonyima uhuru wa habari

MW

Comments

Popular posts from this blog

BAJAJI WAMLILIA RAIS DK MWINYI PEMBA ,WAOMBA MSAADA KWAKWE WASEMA WAMECHOSHWA NA HILI KUTOKA MAWASILIANO

Masheha wanawake wa Wilaya ya Magharib B walivyoleta mabadiliko na maendeleo kwenye shehia zao.

MPANG0 MKAKATI JUMUISHI WA JINSIA KATIKA MICHEZO UTEKELEZAJI WAKE UZINGATIWE.