Masheha Kusini Pemba Wapewa Neno

Na Amina Ahmed 

Waziri wa  afya   Zanzibar Nassor Ahmed Mazrui amewata msheha  a Wa mkoa  wa Kusini  Pemba  kuendelea kuhimiza  wananchi juu ya kusajii  kupata na kutumia  Kadi za matibabu  ya afya ili kuendana na mpango wa serikali  katika kuboresha huduma za afya.
 
Waziri Wa Afya Zanzibar   Nassor Ahmed Mazrui. 

 Ametoa  wato Huo Wakati kizungumza na masheha  wakurugenzi wa baraza la mji Chake na Mkoani, makatibu tawala  wa wilaya n mkoa wajumbe wa kamati za ulinzi na usalama  katika mkutano wa kushajihisha  na kuhamasisha  matumizi  ya kadi za afya kwa wanachi. 

Amesema Bado   Serikali hairidhishwi n mfumo wa matibabu uliopo kwa sasa  hivyo mfumo huo wa kutumia  kitambulisho cha matibabu utasaidia wananchi  kuweza kupata mtibabu sahihi  na  kwa wakati. 

Aidha Waziri Mazrui amewataka watoa huduma  kudhibiti taarifa za kadi hizo  kwa kuzijaza katika mfumo   wakielectroniki  pamoja na kuacha tabia  kupuuza    kuzisajili zinapofika katika vituo vya fya.

 Akizungumza   umuhimu  wa  kadi hizo masheha    wa  Shirika la PharmAccess   Faundation  Faidha Ali 
amesema mfumo huo utasaidia   kupata huduma bora zaidi za afya hususan ni wale watu wenye vipato vya hali ya c


 Awali akizungumza  Mkuu wa Mkoa wa kusini Pemba Mattar Zahor Massoud Amelipongeza shirika la Pharm Access  Faundation kwa kuisaidia serikali kusaidia huduma za matibabu ambapo ameahidi kushirikiana na msheha hao katika kulifanikisha suala la upatikanaji wa  kadi za matibabu kwa wananchi wa mkoa huo na kukamilika kw wakati sahihi uliowekwa.
Mkuu  wa Mkoa Kusini Pemba    Mattar Zahor Massoud
 
Mwisho 


Comments

Popular posts from this blog

BAJAJI WAMLILIA RAIS DK MWINYI PEMBA ,WAOMBA MSAADA KWAKWE WASEMA WAMECHOSHWA NA HILI KUTOKA MAWASILIANO

Masheha wanawake wa Wilaya ya Magharib B walivyoleta mabadiliko na maendeleo kwenye shehia zao.

MPANG0 MKAKATI JUMUISHI WA JINSIA KATIKA MICHEZO UTEKELEZAJI WAKE UZINGATIWE.