ZNCC Yawafikia wafanya biashara Pemba

Jumuiya ya kitaifa ya wafanyabiashara Zanzibar ZNCC imewafikia   wafanyabiashara waliopo kisiwani Pemba na kushirikiana nao katika kuwajengea miundombinu imara Ili kufikia maendeleo endelevu.

Akiwa katika ziara ya kutembelea wafanyabiashara mbali mbali huko wilaya ya mkoani mratibu kutoka jumuiya ya wafanyabiashara ya kitaifa Zanzibar ZNCC  Khalfan Amour Muhammed  amesema wajasiriamali wengi amesema  Bado wajasiriamali hawajitangazi na  kuonesha uwezo wao wa kazi katika kufikia  viwango ubora vinavyohitajika .

Aidha amesema ZNCC imeandaa mradi ulio kwa lengo la kuwasaidia wafanyabiashara katika Kuwapatia fursa mbali mbali Ili waweze kufikia malengo yao sambamba na kuwakuza kiuchumi.

Wakitoa changmoto zao wajasiriamali hao wamesema kuwa ukosefu wa vitendea kazi umekua ukiwapelea kushindwa kufanya kazi zao Kwa ufanisi.

Aidha wamewaomba wafanyabiashara walioko kisiwani Pemba kuwasogezea karibu malighafi Ili Wendell  sambamba na wajasiriamali wengine.

Comments

Popular posts from this blog

BAJAJI WAMLILIA RAIS DK MWINYI PEMBA ,WAOMBA MSAADA KWAKWE WASEMA WAMECHOSHWA NA HILI KUTOKA MAWASILIANO

Masheha wanawake wa Wilaya ya Magharib B walivyoleta mabadiliko na maendeleo kwenye shehia zao.

MPANG0 MKAKATI JUMUISHI WA JINSIA KATIKA MICHEZO UTEKELEZAJI WAKE UZINGATIWE.