WIZARA YA AFYA YAWAPA UJUMBE HUU VIONGOZI WA DINI KUUFIKISHA KATIKA JAMII

MKUU  wakitengo cha elimu  ya afya zanzibar Bakar Hamad Magarawa  amewataka viongozi  wa dini  kutoa elimu  y  kujikinga magonjwa  ya  maradhi   miripuko ikiwemo ugonjwa wa Mpox  na ugonjwa  wa kuharisha. 
Aidha aliwaomba viongozi  hao kutumia nafasi zao kufikisha ujumbe kwa jamii juu  matumizi ya  madawa  ya  kulevya  udhalilisha na kufanya  mapenzi  ya jinsia moja  kwani kwa sasa  matukio hayo  yamekua ya kiendelea kwa kiasi kikubwa       katik jamii

Mratibu  wakitengo cha elimu  ya afya kisiwani pemba  dr suleiman faki haji akiwasalisha mada kuhusu magonjwa ya miripuko Mpox  uharo  mkali kwa viongozi  wadini, maafisa wa afya kutoka wizara ya afya na waandidhi  wa habari  huko  ukumbi  wamkutano makonyo wawi chake chake
Amesema  ugonjwa Mpox una ambukizwa na wanyam pori  nyani, tumbili  na swale mwitu hivyo ameiyomba jamii  kuach kutumia kula wanya pori kiholela kwa kusuru ugonjwa  huo .
Akitaja  makundi  hatari yakupta maambukizi  ya Mpox  ni  watu wenye afya zaifu  mfano watu wenye magonjwa ya kudumu. 
Watoto chini  ya mwaka mmoja, akina mama wajawazito na watu wenye historia  ya ugonjwa  wa pumu  ya ngozi.

Comments

Popular posts from this blog

BARABARA 19 KUJENGWA KWA KIWANGO CHA LAMI PEMBA KUKAMILIKA DISEMBA 2024.

WAZAZI ZIDISHENI KUFUATILIA NYENENDO ZA WATOTO HUSUSAN NI VIJANA .

UONGOZI WA WILAYA CHAKE CHAKE KFHI WAPONGEZA JUHUDI