Mkutano Maalum

 HABARI NA TAMWA ZANZIBAR. 

Leo November 22 TAMWA-ZNZ Kwa kushirikiana na wadau wengine Shirika la SHIJUWAZA pamoja  Shirila linalojihusisha maswala ya watu wenye ulemavu Norway (NAD) wameanza mafunzo ya siku nne kwa baadhi ya maafisa wa taasisi hizo kwa hatua ya mwisho kabla ya kuanza kutekelezwa kwa mradi mpya utakaofanyika katika maeneo mbali mbali Unguja na Pemba, kuwawezesha watu wenye ulemavu kutambua haki zao za kiuchumi pamoja na kuongeza ushiriki na ushirikishwaji wao katika shughuli za kiuchumi kwa lengo la kuwaongezea kipato, kupunguza umasikini na kuondokana na utegemezi.(Kijaluba iSAVE Project)


Comments

Popular posts from this blog

BAJAJI WAMLILIA RAIS DK MWINYI PEMBA ,WAOMBA MSAADA KWAKWE WASEMA WAMECHOSHWA NA HILI KUTOKA MAWASILIANO

Masheha wanawake wa Wilaya ya Magharib B walivyoleta mabadiliko na maendeleo kwenye shehia zao.

MPANG0 MKAKATI JUMUISHI WA JINSIA KATIKA MICHEZO UTEKELEZAJI WAKE UZINGATIWE.