Mkutano Maalum

 HABARI NA TAMWA ZANZIBAR. 

Leo November 22 TAMWA-ZNZ Kwa kushirikiana na wadau wengine Shirika la SHIJUWAZA pamoja  Shirila linalojihusisha maswala ya watu wenye ulemavu Norway (NAD) wameanza mafunzo ya siku nne kwa baadhi ya maafisa wa taasisi hizo kwa hatua ya mwisho kabla ya kuanza kutekelezwa kwa mradi mpya utakaofanyika katika maeneo mbali mbali Unguja na Pemba, kuwawezesha watu wenye ulemavu kutambua haki zao za kiuchumi pamoja na kuongeza ushiriki na ushirikishwaji wao katika shughuli za kiuchumi kwa lengo la kuwaongezea kipato, kupunguza umasikini na kuondokana na utegemezi.(Kijaluba iSAVE Project)


Comments

Popular posts from this blog

BARABARA 19 KUJENGWA KWA KIWANGO CHA LAMI PEMBA KUKAMILIKA DISEMBA 2024.

WAZAZI ZIDISHENI KUFUATILIA NYENENDO ZA WATOTO HUSUSAN NI VIJANA .

UONGOZI WA WILAYA CHAKE CHAKE KFHI WAPONGEZA JUHUDI