WAANDISHI WASUKWA UANDISHI WA HABARI ZA MAENDELEO KWENYE JAMII
Habari zenye kuleta mabadiliko katika jamii ni chachu ya maendeleo nchini kuhamasisha wanawake kutumia haki ya kidemokrasia na uongozi hali itakayosaidia kushiriki na kushinda kwenye ngazi za maamuzi.
kwa upande wao shiriki wa mafunzo hayo, Ahmed Iddi Haji na Esau Simon Kalukubila wamesema mafunzo hayo yatasaidia kuandika habari zenye kuleta mabadiliko ndani ya jamii na tasnia ya habari.
Mkutano huo wa siku tatu ni muendelezo wa mafunzo ya kuwajengea uwezo waandshi wa habari vijana katika kuandika habari za suluhisho kupitia mradi unaosimamiwa na TAMWA Zanzibar Kwa ufadhili wa National Endowment for Democracy nchini Marekani.
Comments
Post a Comment