Posts

Showing posts from August, 2024

SMZ KULISAIDIA JESHI LA POLISI KUKABILIANA NA UHALIFU – WAZIRI HAMZA

Image
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi Mhe. Hamza Hassan Juma amesema, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar italiongezea nguvu Jeshi la Polisi ili liweze kufanya kazi ya kulinda maisha ya watu na mali zao kwa ufanisi. Akizungumza na Maafisa wa Polisi huko Mahonda Makao Makuu ya Polisi Mkoa wa Kaskazini Unguja mara baada ya kufanya ziara ya ukagua wa Vituo vya Polisi vya Mikoa mitatu ya Unguja yenye lengo la kuangalia changamoto ili zifanyiwe kazi ambapo Mhe. Hamza ameliagiza Jeshi la Polisi kukabiliana na changamoto za uhalifu ukiwemo wa ajali zinazosababishwa na waendesha pikipiki maarufu bodaboda, makosa ya udhalilishaji na makosa dhidi ya raia wa kigeni. Aidha, amesema Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inaunga mkono Jitihada za Jeshi la Polisi katika kukabiliana na wanaohatarisha Amani ya Nchi kwa kutoa maneno ya uchochezi na kuwahamasisha wananchi kufanya fujo. Nae Kamishna wa Polisi Zanzibar CP HAMAD KHAMIS HAMAD ameio...

WIZARA YA AFYA YAWAPA UJUMBE HUU VIONGOZI WA DINI KUUFIKISHA KATIKA JAMII

Image
MKUU  wakitengo cha elimu  ya afya zanzibar Bakar Hamad Magarawa  amewataka viongozi  wa dini  kutoa elimu  y  kujikinga magonjwa  ya  maradhi   miripuko ikiwemo ugonjwa wa Mpox  na ugonjwa  wa kuharisha.  Aidha aliwaomba viongozi  hao kutumia nafasi zao kufikisha ujumbe kwa jamii juu  matumizi ya  madawa  ya  kulevya  udhalilisha na kufanya  mapenzi  ya jinsia moja  kwani kwa sasa  matukio hayo  yamekua ya kiendelea kwa kiasi kikubwa       katik jamii Mratibu  wakitengo cha elimu  ya afya kisiwani pemba  dr suleiman faki haji akiwasalisha mada kuhusu magonjwa ya miripuko Mpox  uharo  mkali kwa viongozi  wadini, maafisa wa afya kutoka wizara ya afya na waandidhi  wa habari  huko  ukumbi  wamkutano makonyo wawi chake chake Amesema  ugonjwa Mpox una ambukizwa na wanyam pori  ...

ZIARA UKAGUZI WA UTENDAJI SEKTA YA AFYA PEMBA YAENDELEA

Image
WAZIRI WA AFYA ZANZIBAR MH NASSOR AMHED  MAZOUR AMENDELEZA ZIARA YAKE  KWA SEKTA YA AFYA  KISIWANI PEMBA AMBAPO LEO AMETEMBELEA  KITENGO CHAMARADHIYASIYOPEWA KIPAUMBELEA NA KUKUONANA NA MADTR WA KICHINA WANAO SIMAMIA MRADI WAKUTOKOMEZA UGONJWA WA KICHOCHO  . AMESEMA AMERIDHISHWAN  NA KAZI INAYOFANYWA NA MADAKTARI  HAO KWA KUFANYA UCHUNGUZI NAUTOAJI  WA MATIBABU KWA WANANCHI  . AIDHA AMESEMA SERIKALI YA MAPINDUZI  YA ZANZIBAR  ITAENDELEA KUUNGA MKONOJUHUDU ZA MADAKTARI  KATI Y SERIKALI MBILI  HIZO KWANI ZINA UNDUGU WA MUDA MREFU. NAE KIONGOZI WA TIMU YA MADAKTAR HAO  DR HUWANG AMESEMA  WAMEWEZA KUPITIA MAENEO MBALI  MBILI  KISIWANI PEMBA  AMBAYOYALIKUA YANA  MAZALIA  YAKONOKONO IKIWEMO MAENEO YA  MAWZIWA NAKUTIADAWA   MAENEO HAYO  PAMOJA NAKUTOA ELIMU MASKULINI KWAWANAFUNZA JUU YA KUFAHAMU  MADHARAYAUGONGWAHUO.