Posts

Showing posts from April, 2023

MKURUGENZI PEGAO AELEZA MAFANIKIO YALIOFIKIWA KUTATUA KERO ZINAZOREJESHA NYUMA WANAWAKE KUFIKIA MAENDELEO YA KUWA VIONGOZI, ASISITIZA MASHIRIKIANO VIONGOZI WA SHEHIA KATIKA KUZIPATIA UFUMBUZI KERO HIZO.

Image
NA AMINA AHMED MOH’D PEMBA.  WAANDISHI wa Habari Wameaswa  Kutoa Taarifa ambazo zitasaidia kujenga uelewa kwa Jamii Juu ya  kupatiwa ufumbuzi  changamoto  zinazopelekea kutofikia Maendeleo  yao  kwa Wanawake ikiwa ni Pamoja na kupata Haki katika nafasi za Uongozi.  Ametoa Ushauri huyo Mkurugenzi  wa Jumuiya ya PEGAO Kisiwani Pemba Hafidh Abdi Said,alipokuwa akizungumza na Waandishi  wa Habari katika Mkutano Maalum wa kutoa Taarifa kwa vyombo vya Habari juu ya  kazi zinazofanywa na   wahamasishaji jamii (Citizen Brigadi) katika wilaya uliofanyika katika ofisi za Jumuia hiyo Msingini Chake Chake Ikiwa ni utekelezaji wa Mradi  wa Kuwajegea Uwezo wanawake  katika Masuala ya Uongozi.  Amesema  Wanawake na  wananchi wamekuwa wakikukabiliwa na changamoto mbali mbali, ikiwemo suala la Maji safi na salama, umeme kwa baadhi ya vijiji, Barabara, madaraja, elimu, vituo vya afya kufuata masafa maref...

VIJANA WATEMA CHECHE SERA ZINAZOBADILIKA BADILIKA Habari

Image
Na Amina Ahmed Moh’d Pemba.  ZAIDI ya Vijana 40 Kutoka  maeneo na Taasisi mbali mbali  Kusini na Kaskazini   mwa kisiwa cha  Pemba  Leo hii Wameshiriki katika Kongamano Maalum  la kujadili Masuala ya kidemocrasia  na ushirikishwaji  wa Vijana katika Siasa, Democrsia,  Jamii na Uchumi, Yalioandaliwa na   Kijana High Faundation, Taasisi ya Youth Initiative,   Pamoja na Taasisi ya   One Young Tanzania lililofanyika katika ukumbi wa Makonyo Wawi Chake Chake.  Akifungua Kongamano hilo  Kwa niaba  ya Mrajisi wa  Asasi za Kiraia  Pemba Sada Abuu - Bakar  Muhammed Amewataka Vijana  kutumia vyema nafasi ya kushiriki   kuleta Maendeleo  ya nchi.  Amesema endapo Vijana wataweza kushirikiana  ina kuzitumia vyema fursa zinazopatikana katika Nyanja Mbali mbal Bila kujali tofauti zao za Dini,  Rangi Mahala wanapotoka, imani itikadi, Pamoja na...