Posts

Showing posts from September, 2024

ANGOZA YATOA MAFUNZO MABADILIKO TABIA YA NCHI.

NA,  ARAFA MAKAME,RAIHAT NASSOR  - PEMBA. AFISA mdhamini wizara ya nchi ofisi ya makamu wa kwanza wa rais Pemba Ahmed Abubakar Mohammed amewataka amesema  ipo haja ya kulindwa na kuendelezwa  misitu  na mapori   ili kuhakikisha Kisiwa cha Pemba kinaendelea kubaki na haiba yake ya Kijani . Ameyasema hayo wakati akifungua mafunzo ya siku moja kwa wawakilishi  wa  asasi tofauti za kiraia,Wananchi,watoto watu wenye ulemavu,wanawake  pamoja  na  watendaji wa serikali Pemba   uliyoaandaliwa na  ANGOZA  kwa ufadhili wa mfuko wa jumuiya ya madola  COMMON WEALTH FOUNDATION  katika kuleta mabadiliko ya tabia  ya nchi  (CLIMATE JUSTICE) yaliyifanyika  huko  katkka ukumbi wa  Madungu sekondari  . Amesema katika kutekeleza suala  hilo  jamii inalazimika  kuacha   ukataji wa miti kiholela na kutumia nishati ambayo nisalama jambo ambalo  itapelekea kuhar...