Posts

Showing posts from April, 2024

MAHAFALI YA PILI WAANDISHI CHIPUKIZI (YMF) YAMEFANYIKA LEO WAASWA KUENDELEZA HAYA

Image
AMINA AHMED MOH'D.   SHEREHE ya mahafali  ya  pili   kwa waandishi wa habari chipukizi   Young media fellowship  (YMF) imefanyika leo katika ukumbi wa Bima Kisiwani Unguja ambapo jumla ya wahitimu 24 waliopatiwa mafunzo  kwa muda wa mwaka mmoja kupitia mradi wa  kuandika habari  zenye  kuimarisha  uongozi kwa wanawake kupitia vyombo vya habari  wamepatiwa vyeti maalum  . Akizungumza na wahitimu hao kupitia Sherehe  hiyo   iliyoandaliwa  na  chama cha waandishi wa habari wanawake Tanzania  Tamwa Zanzibar kwa ufadhili wa shirika la  National endowment for democracy ( NED)   mkurugenzi wa chama hicho Dk Mzuri  Issa Ali amewataka waandishi hao  kuendelea    kushirikiana na chama hicho   katika kutetea haki za wanawake   ili kuweza kupata haki wanazostahiki ikiwemo masuala ya uongozi Awali akizungumza  Mjumbe wa bodi kutoka Tamw...